Tarehe 13 Septemba 2025, Chuo kimeendesha Mafunzo ya Ushirikishwaji wa Wadau juu ya masuala ya Ukatili wa Kijinsia (GBV) kupitia mradi wa Elimu ya Juu kwa Mageuzi ya Kiuchumi (HEET).
🤝 Wadau mbalimbali wamekutana kwa ajili ya kujadili masuala mbalimbali kuhusu mada hususani utekelezaji wa Mfumo wa KASEMA (One Stop Centre) unaotumiwa na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kukusanya maoni au malalamiko kuhusu utekelezaji wa Mradi.