Skip to main content
MUCE YASAINI MKATABA WA MAKUBALIANO NA HOSPITALI YA BENJAMIN MKAPA (BMH) KWA HUDUMA ZA MATIBABU YA HARAKA

Chuo Kishiriki cha Elimu cha Mkwawa kimesaini Mkataba wa Makubaliano (MoU) na Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) kwa ajili ya utoaji wa huduma za matibabu ya haraka kwa wafanyakazi wa Chuo. Hafla ya utiaji saini wa mkataba huo imefanyika tarehe 13 Januari 2025.

Mkataba huo umesainiwa na Rasi wa Chuo, Profesa Method S. Semiono, na Profesa Abel Makubi, Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Benjamin Mkapa.

Mugizi Promotion
Celebrating Excellence at MUCE

We’re incredibly proud to recognize the outstanding work of the MUCE staff — Fikira, Juma, Frank, Selemani, Asha, and Benjamin — who played a key role in earning the 2025 Prize of Excellence in Semiochemical Research.

Through hands-on fieldwork and farmer engagement, the MUCE team helped bring semiochemical-based pest management solutions directly to smallholder maize and tomato farmers. Their efforts supported reduced reliance on harmful insecticides, improved crop protection, and promoted more sustainable, farmer-friendly agriculture.

MUCE Receives CRDB Bank Prize for Best Overall Student Ahead of 2025 Graduation

MUCE Receives CRDB Bank Prize for Best Overall Student Ahead of 2025 Graduation

Mkwawa University College of Education (MUCE) is pleased to announce that we have received the official prize from CRDB Bank Plc that will be awarded to the Best Overall Student during the upcoming Graduation Ceremony scheduled for 26 November 2025 at MUCE.

Ziara ya Mkuu wa Mkoa wa Iringa Chuoni Mkwawa kuelekea Ufunguzi wa Vyuo Vikuu – 17 Novemba 2025

Ziara ya Mkuu wa Mkoa wa Iringa Chuoni Mkwawa kuelekea Ufunguzi wa Vyuo Vikuu – 17 Novemba 2025

Tarehe 13 Novemba 2025, Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mhe. Kheri James, amefanya ziara rasmi katika Chuo Kishiriki cha Elimu Mkwawa (MUCE) kujadili maandalizi ya Chuo kuelekea kufunguliwa kwa Vyuo Vikuu nchini tarehe 17 Novemba 2025.

Usalama na Maandalizi ya Mapokezi

Uzinduzi wa Mradi wa Kuimarisha Uwezo wa Wakulima Wadogo

Sekta ya kilimo ndiyo uti wa mgongo wa uchumi—lakini mabadiliko ya tabianchi yameendelea kutishia uzalishaji na maisha ya wakulima wetu. 🌍

Kupitia ushirikiano wa MUCE, TARI, Enviroenergies na WiN-TZ, watafiti wamezindua rasmi mradi wa ECSA-SATZ, unaolenga kuwawezesha wakulima wadogowadogo wa Manyoni (Singida) na Bahi (Dodoma) kukabiliana na athari za tabianchi kupitia kilimo himilivu.

HEET Project Stakeholders Training on Gender Based Violence (GBV)

Tarehe 13 Septemba 2025, Chuo kimeendesha Mafunzo ya Ushirikishwaji wa Wadau juu ya masuala ya Ukatili wa Kijinsia (GBV) kupitia mradi wa Elimu ya Juu kwa Mageuzi ya Kiuchumi (HEET).

🤝 Wadau mbalimbali wamekutana kwa ajili ya kujadili masuala mbalimbali kuhusu mada hususani utekelezaji wa Mfumo wa KASEMA (One Stop Centre) unaotumiwa na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kukusanya maoni au malalamiko kuhusu utekelezaji wa Mradi.

Ziara ya Mkuu wa Mkoa wa Iringa Chuoni MUCE

Leo, tarehe 28 Agosti 2025, MUCE ilipata heshima ya kutembelewa na Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mhe. Kheri James, aliyefika Chuoni kuangalia maendeleo ya miradi ya ujenzi wa miundombinu mipya inayotekelezwa na Chuo. Katika ziara hiyo, kabla ya kutembelea miradi ya ujenzi, Mkuu wa Mkoa alipewa taarifa ya safari ya Chuo, mafanikio yake, na mchango wake katika kukuza elimu ya juu nchini.

Nafasi za Malazi MUCE

✨ Tangazo la Nafasi za Malazi MUCE ✨

Chuo Kishiriki cha Elimu Mkwawa (MUCE) kinapenda kuwataarifu wanafunzi na wadau wake kuhusu nafasi za malazi katika hosteli za Chuo kuanzia tarehe 14 Agosti hadi 30 Oktoba 2025.

Huduma hizi za malazi zinatolewa kwa bei nafuu na zinajumuisha:
🏠 Vyumba vya kulala kwa usalama saa 24
💧 Huduma za maji, umeme na usafi
⚽ Viwanja vya michezo na maeneo ya kupumzikia au kufanya kazi za ofisini

MUCE Attends CEOs Workshop in Arusha

✨ Ushiriki wa MUCE katika Kikao Kazi Arusha ✨

Chuo Kishiriki cha Elimu Mkwawa (MUCE) kimehudhuria Kikao Kazi cha Watendaji Wakuu wa Taasisi na Wenyeviti wa Bodi kilichofanyika jijini Arusha kuanzia tarehe 23–26 Agosti 2025.

Kikao hicho kilifunguliwa rasmi na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Dkt. Philip Isdory Mpango, na kufungwa na Naibu Waziri Mkuu, Mh. Doto Biteko.