Ziara ya Mkuu wa Mkoa wa Iringa Chuoni Mkwawa kuelekea Ufunguzi wa Vyuo Vikuu – 17 Novemba 2025
Tarehe 13 Novemba 2025, Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mhe. Kheri James, amefanya ziara rasmi katika Chuo Kishiriki cha Elimu Mkwawa (MUCE) kujadili maandalizi ya Chuo kuelekea kufunguliwa kwa Vyuo Vikuu nchini tarehe 17 Novemba 2025.
Usalama na Maandalizi ya Mapokezi