✨ Ushiriki wa MUCE katika Kikao Kazi Arusha ✨
Chuo Kishiriki cha Elimu Mkwawa (MUCE) kimehudhuria Kikao Kazi cha Watendaji Wakuu wa Taasisi na Wenyeviti wa Bodi kilichofanyika jijini Arusha kuanzia tarehe 23–26 Agosti 2025.
Kikao hicho kilifunguliwa rasmi na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Dkt. Philip Isdory Mpango, na kufungwa na Naibu Waziri Mkuu, Mh. Doto Biteko.