Skip to main content

Timetable Supp-Special II 2024- 2025 -Draf Final

Name
Sebastian Majimoto

Department
Administration

Biography

Biography

 

Contacts

Email:

Research Interest

Google Scholar

View Profile

Projects

Publications

Submitted by smajimoto on 24 November 2025
MUCE Receives CRDB Bank Prize for Best Overall Student Ahead of 2025 Graduation

MUCE Receives CRDB Bank Prize for Best Overall Student Ahead of 2025 Graduation

Mkwawa University College of Education (MUCE) is pleased to announce that we have received the official prize from CRDB Bank Plc that will be awarded to the Best Overall Student during the upcoming Graduation Ceremony scheduled for 26 November 2025 at MUCE.

Ziara ya Mkuu wa Mkoa wa Iringa Chuoni Mkwawa kuelekea Ufunguzi wa Vyuo Vikuu – 17 Novemba 2025

Ziara ya Mkuu wa Mkoa wa Iringa Chuoni Mkwawa kuelekea Ufunguzi wa Vyuo Vikuu – 17 Novemba 2025

Tarehe 13 Novemba 2025, Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mhe. Kheri James, amefanya ziara rasmi katika Chuo Kishiriki cha Elimu Mkwawa (MUCE) kujadili maandalizi ya Chuo kuelekea kufunguliwa kwa Vyuo Vikuu nchini tarehe 17 Novemba 2025.

Usalama na Maandalizi ya Mapokezi

Uzinduzi wa Mradi wa Kuimarisha Uwezo wa Wakulima Wadogo

Sekta ya kilimo ndiyo uti wa mgongo wa uchumi—lakini mabadiliko ya tabianchi yameendelea kutishia uzalishaji na maisha ya wakulima wetu. 🌍

Kupitia ushirikiano wa MUCE, TARI, Enviroenergies na WiN-TZ, watafiti wamezindua rasmi mradi wa ECSA-SATZ, unaolenga kuwawezesha wakulima wadogowadogo wa Manyoni (Singida) na Bahi (Dodoma) kukabiliana na athari za tabianchi kupitia kilimo himilivu.

Teaching Timetable Draft 0

Name
Sebastian Majimoto

Department
Administration

Biography

Biography

 

Contacts

Email:

Research Interest

Google Scholar

View Profile

Projects

Publications

Submitted by smajimoto on 1 November 2025

Timetable Supp-Special 2024- 2025 -Final

Name
Sebastian Majimoto

Department
Administration

Biography

Biography

 

Contacts

Email:

Research Interest

Google Scholar

View Profile

Projects

Publications

Submitted by smajimoto on 26 September 2025
HEET Project Stakeholders Training on Gender Based Violence (GBV)

Tarehe 13 Septemba 2025, Chuo kimeendesha Mafunzo ya Ushirikishwaji wa Wadau juu ya masuala ya Ukatili wa Kijinsia (GBV) kupitia mradi wa Elimu ya Juu kwa Mageuzi ya Kiuchumi (HEET).

🤝 Wadau mbalimbali wamekutana kwa ajili ya kujadili masuala mbalimbali kuhusu mada hususani utekelezaji wa Mfumo wa KASEMA (One Stop Centre) unaotumiwa na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kukusanya maoni au malalamiko kuhusu utekelezaji wa Mradi.

Ziara ya Mkuu wa Mkoa wa Iringa Chuoni MUCE

Leo, tarehe 28 Agosti 2025, MUCE ilipata heshima ya kutembelewa na Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mhe. Kheri James, aliyefika Chuoni kuangalia maendeleo ya miradi ya ujenzi wa miundombinu mipya inayotekelezwa na Chuo. Katika ziara hiyo, kabla ya kutembelea miradi ya ujenzi, Mkuu wa Mkoa alipewa taarifa ya safari ya Chuo, mafanikio yake, na mchango wake katika kukuza elimu ya juu nchini.

Subscribe to